Washindi wa shindano la kupiga picha wakiwa mbugani kutangaza
utalii wa ndani wakiwa wameongoza na Mkurugenzi Mwendeshaji wa Bodi ya
utalii Tanzania(TTB) ,Devotha Mdachi (katikati) wakiwasili katika
uwanja wa ndege wa kimataifa wa JNA Dar es Salaam kwa ajili ya Safari
ya kuelekea Ngorongoro na Serengeti kujionea vivutio zaidi ili
kuweza kuwavutia watanzania wengine kutembelea vivutio hivyo.
Washindi wa shindano hilo wakiwa na wenza wao wakijadili jambo
kabla ya kuondoka na ndege ya shirika la ndege nchini Air Tanzania
kuelekea katika mbuga za wanyama za Ngorongoro na Serengeti,ikiwa ni moja ya sehemu ya Safari zilizoratibiwa na bodi ya utalii nchini (TTB) kwa ajli ya kuhamasisha utalii wa ndani kwa Watanzania
Afisa uhusiano wa Bodi ya utalii Tanzania akizungumza jambo na
washindi wa shindano la kutuma picha kwa wapenzi ambao walishawahi
kutembelea mbuga za wanyama ambao walipata kushinda tena fursa ya
kutemmbelea Mbuga ya Ngorongoro na Serengeti.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...