Mmoja wa mafundi akiweka mabomba ya maji sawa hili aweze kumwagilia vizuri eneo la
uwanja wa Bandari, Temeke, jijini Dar es salaam ambao umepandwa nyasi za kisasa kwa ajili ya mazoezi pamoja na kuchezea mashindano ya soka, yakiwemo ya Ndondo Cup.
Mabomba ya
kisasa yakimwagilia maji katika uwanja huo wa Bandari ambao unatarajiwa kuwa wa kisasa katika
eneo lake la kuchezea kwa kufanana na uwanja wa Taifa.
Bomba
jingine lililopo upande wa mashariki ya uwanja likimwagilia maji.
Jiwe la msingi la ujenzi wa uwanja huo liliwekwa na balozi wa China Dkt. Lu Younqing
Sehemu ya
upande wa goli ambayo imewekwa sawa na kupandwa nyasi za kisasa. Picha na HunphreyShayo wa Globu ya Jamii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...