Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mkoani Manyara,  Mhe. James Ole Millya na mbunge wa viti maalum Zanzibar  Mhe. Tauhida wakiwa kwenye mkutano wa 134 wa umoja wa mabunge duniani mjini Dhaka nchini Bangladesh, ambapo Tanzania iliwakilishwa na wabunge tisa na makatibu wawili

Mbunge wa Jimbo la Bariadi Mkoani Simiyu Mhe. Andrew Chenge akiwaongoza wabunge tisa na makatibu wawili wa Bunge la Tanzania kwenye mkutano wa 134 wa umoja wa mabunge duniani mjini Dhaka nchini Bangladesh (wa pili kulia mstari wa nyuma) ni mbunge wa jimbo la Simanjiro, mkoani Manyara, James Ole Millya.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...