Naibu
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Tulia
Ackson akiongoza kikao cha nane cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo
Mjini Dodoma Aprili 18, 2017.
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (TAMISEMI) Mhe. Suleimani Jafo akijibu
maswali ya wabunge mbalimbali katika kikao cha Tisa cha Mkutano wa saba
wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 19,2017.
Naibu
Waziri wa Mambo ya nje ya Nchi na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe.
Susan Kolimba akijibu maswali ya wabunge mbalimbali katika kikao cha
Tisa cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 19,2017.
Wabunge
wakifuatilia hoja mbalimbali katika kikao cha nane cha Mkutano wa saba
wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Aprili 19, 2017.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...