Daktari bingwa wa pua na masikio kutoka China Dk. Fei Jie, akimfanyia uchunguzi wa pua Bi. Amina Himid katika siku ya Afya ya kijiji iliyofanyika Skuli ya Kwamtipura. 
 Wananchi waliojitikeza kupatiwa huduma katika siku ya Afya ya Kijiji huko Skuli ya Kwamtipura.
Watoto wakinywa Uji mara baada ya kupatiwa huduma za afya.
 Wananchi waliojitikeza kupatiwa huduma katika siku ya Afya ya Kijiji huko Skuli ya Kwamtipura.
Daktari bingwa kutoka Jamhuri ya Watu wa China Dk. Gao, akimpima kifua mtoto Salma Mohammed mkaazi wa Kilmahewa, katika siku ya Afya ya Kijiji iliyofanyika Skuli ya Kwamtipura Wilaya ya Mjini Unguja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...