Na Humphrey Shao, Globu ya Jamii

Mkazi mmoja wa jijini Dar es Salaam anayefahamika kwa jina la Ahmad Khalifa amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi kisutu kwa kosa la kumtishia kumua Hawa Mshama.

Akisomewa mashtaka hayo katika Mahakama ya mwanzo Kinondoni mbele ya Hakimu Marko Mochiwa chini ya kifungu cha 89 -16 (2) mnamo tarehe 9/5/2017 eneo la Kinondoni Msisiri mshatikiwa alitoa lugha ya matusi kwa Bi Hawa Mshama .

Hata hivyo mshatikiwa alikana shitaka hilo na kuambiwa kuwa dhamana iko wazi na akishindwa ataenda mahabusu mpaka kesi hiyo itakapotajwa tena Mei 24.
Ahmad Khalifa akingizwa katika mahakama ya mwanzo Kinondoni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...