Askofu wa Kanisa la Good News For All Ministry
Dkt. Charles Gadi (mwenye miwani)akifanya maombi maalum pamoja na Wachungaji wa kanisa hilo ya kuomba
mvua zinazoendelea nchini zisiwe na madhara kwa jamii.
·
Askofu Gadi 01: Askofu wa Kanisa la Good News
For All Ministry Dkt. Charles Gadi akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari
(hawapo pichani) wakati akitoa salamu za rambirambi kwa familia za wafiwa wa
wanafunzi 32, walimu wawili na dereva wa Shule ya Lucky Vincent ya Jijini
Arusha pamoja na kumpongeza Rais john Magufuli kwa kuzindua miradi mikubwa ya
kimaendeleo hivi karibuni, kushoto ni Mchungaji wa kanisa hilo Mchungaji Andrew
Thomas na kulia ni Mchungaji Palemo Massawe. Picha na Eliphace Marwa -Maelezo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...