Ni kwanini MSD inashindwa kuagiza dawa wakati imepewa pesa na serikali ? Hapa naibu waziri Selemani Jafo anatoa ufafanuzi; https://youtu.be/ca6-YGggOMg
Swali la mbunge wa Bukombe Mhe. Biteko kuhusu ahadi ya Rais Magufuli ya ujenzi wa barabara za mji wa ushirombo kwa kiwango cha lami; https://youtu.be/l18Khg4bH4o
Je, ni lini wananchi watapewa fidia kupisha ujenzi wa barabara ya Mgakorongo? haya hapa majibu kutoka kwa naibu waziri. https://youtu.be/E_Bsq-bC9_4
Ufafanuzi wa serikali kuhusu fedha zilitokana na kukamatwa kwa meli iliyokua ikiendesha shughuli za uvuvi mwaka 2009 katika bahari ya Hindi bila ruhusa; https://youtu.be/w0jVMwSHPwc
Ni lini serikali itakamilisha ujenzi wa mradi wa maji kwa wananchi wa Kibaha? hapa naibu waziri wizara ya maji anatoa ufafanuzi; https://youtu.be/NDMw8lakbaQ
Tazama alichokisema naibu waziri Mhe. Kigwangalla kuhusu suala la upungufu wa vifaa tiba, madawa katika hospitali za umma. https://youtu.be/cpPdGHMi9fs
Swali la mbunge Mhe. Halima Bulembo akimuuliza naibu waziri Kigwangalla kuhusu huduma mbovu za afya kwa kina mama na watoto; https://youtu.be/st0KtE5Ijwc
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...