Mkuu wa masoko wa  Benk ya TIB Corporate ltd  Bi. Theresia Soka akipokea hati ya shukran toka Kwa mgeni rasmi Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akishuhudiwa na Waziri wa Ujenzi na uchukuzi Profesa Makame Mbarawa, Mwenyekiti wa bodi ya makandarasi Mama Consolata Ngimbwa na  msajili mkuu wa  bodi ya makandarasi Bw. Reuben  Nkori. Hiyo ikiwa ni baada ya kudhamini mkutano mkuu wa mwaka wa Bodi ya Makandarasi unaofanyika katika ukumbi wa Jakaya  kikwete convention center  mjini Dodoma leo. 
TIB corporate ni benki  ya biashara  inayotoa huduma mbalimbali za kibenki katika sekta mbali mbali. Kupitia benki hiyo, Makandarasi wanapatiwa huduma mbalimbali kama vile project financing, overdraft na bank guarantees, unsecured bid bonds, advance payment guarantees na performance guarantees.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...