Kwa
niaba Benki ya Wanawake wametuma salamu za pole kwa wazazi, walezi,
familia na jamii yote ya Arusha na Tanzania kwa ujumla, kwa kupoteza
watoto wetu ambao walikuwa waliokuwa wanandaliwa kuwa nguvu kazi ya
Taifa letu katika Sekta mbalimbali.
Mwenyezi
Mungu awapatie Faraja na Moyo wa Subira katika kipindi hiki kigumu cha
huzuni, uchungu na simanzi kwa familia za marehemu na Taifa kwa
ujumla.
Wafanyakazi wa Benki ya Wanawake Tawi la Mkwepu wameungana na Taifa kuombolea vifo vya wanafunzi 32, walimu 2 na dereva mmoja vilivyotokana na ajali iliyotokea Karatu mkoani Arusha tarehe 6 May, mwaka huu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...