Mgeni Rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Geita Meja Jenerali mstaafu Ezikiel Elias Kyunga akiwa kwenye picha ya pamoja na kamati ya ulinzi na usalama pamoja na mwakilishi wa makampuni ambayo yamefadhili shughuli ya siku ya wauguzi ambapo Benki ya NMB iliwakilishwa na Meneja Mahusiano Biashara za Serikali Kanda ya Ziwa, Suma Mwainunu.
Meneja Mahusiano Biashara za Serikali Kanda ya Ziwa wa Benki ya NMB, Suma Mwainunu akitoa shukrani kwa wao kama Benki kushirikishwa kwenye shughuli hiyo ya siku ya wauguzi Duniani huku akihaidi kuwa Benki yao itaendelea kushirikiana na serikali katika juhudi zake mbalimbali.
Sehemu ya Washiriki siku ya wauguzi iliyofanyika Mkoani Geita hivi karibuni.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...