Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Alhajj Abdallah Bulembo akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya ya Kaliua, Mabalozi, watendaji wa CCM na wa Serikali, mwanzoni mwa ziara yake katika Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, leo.
Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya ya Kaliua, Mabalozi, watendaji wa CCM na wa Serikali wakiwa kwenye kikao hicho,
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Alhajj Abdallah Bulembo akihitimisha mazungumzo yake na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM ya Wilaya ya Kaliua, Mabalozi, watendaji wa CCM na wa Serikali, mwanzoni mwa ziara yake katika Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, leo, Wilaya hiyo ya Kaliua ndiyo imehitimisha ziara yake katika mkoa wa Tabora. PICHA; BASHIR NKOROMO.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Tanzania, Alhajj Abdallah Bulembo akizungumza na Walimu wa Msingi Ushokora inayomilikiwa na Jumuia hiyo, mwanzoni mwa ziara yake katika Wilaya ya Kaliua mkoani Tabora, leo. Pamoja na mambo mengine, Bulembo alitaka kujua kwa nini walimu kwenye shule hiyo kongwe wanafanyia kazi yao chini ya miti kama alivyowakuta. Wapili kulia ni Mwalimu Mkuu wa Shule hiyoAsher Msemwa na Kulia ni Mkuu wa Wilaya hiyo Abeid Busalama ambaye Bulembo alimpa jukumu la kufuatilia tatizo hilo la walimu kufanyika azi chini ya miti.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...