Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (katikati) akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Kunduchi Beach, Jijini Dar es salaam leo, juu ya kuwepo kwa Mkutano Mkuu wa wanahisa wa Benki hiyo, unaotaraji kufanyika Mei 20, 2017 Jijini Arusha. Kulia ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Saugata Bandyopadhyay na kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mkuu anaeshughulikia Huduma Shirikisho katika Benki hiyo, Esther Kitoka.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akionyesha kitabu cha ripoti ya Mwaka kwa waandishi wa habari katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Kunduchi Beach, Jijini Dar es salaam leo. Kulia ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Saugata Bandyopadhyay na kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mkuu anaeshughulikia Huduma Shirikisho katika Benki hiyo, Esther Kitoka.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...