Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei (katikati) akizungumza na waandishi wa habari katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Kunduchi Beach, Jijini Dar es salaam leo, juu ya kuwepo kwa Mkutano Mkuu wa wanahisa wa Benki hiyo, unaotaraji kufanyika Mei  20, 2017 Jijini Arusha. Kulia ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Saugata Bandyopadhyay na kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mkuu anaeshughulikia Huduma Shirikisho katika Benki hiyo, Esther Kitoka.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Dk. Charles Kimei akionyesha kitabu cha ripoti ya Mwaka kwa waandishi wa habari katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Kunduchi Beach, Jijini Dar es salaam leo. Kulia ni Naibu Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Saugata Bandyopadhyay na kushoto ni Naibu Mkurugenzi Mkuu anaeshughulikia Huduma Shirikisho katika Benki hiyo, Esther Kitoka.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...