Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Godwin Gondwe (kushoto) akipokea sehemu ya msaada wa matairi 14, kutoka kwa Muwakilishi wa Kampuni ya Binslum, Iddi Moshi "Mnyamwezi" yaliyotolewa kwa ajili ya magari ya Halmashauri ili kufanikisha shughuli mbalimbali za maendeleo katika Wilaya hiyo ya Handeni. Makabidhiano hayo yalifanyika hivi karibuni kwenye Duka la Matairi la Kampuni ya Binslum, Sikota, Temeke jijini Dar es salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...