Habari Ndugu, 
 Naomba tuungane mkono kwa pamoja baada ya maneno mengi kuongeleka kuwa mimi ni msanii wa kiki. Ila sio kweli kuhusu hili na kuthibitisha nimeamua niachie wimbo mpya unaoenda kwa jina la "NUNDU" kama zawadi kwa watanziania na mashabiki wangu wote kiujumla. 
NUNDU ni wimbo wangu wa tatu officially kuachiwa, na nimemshirikisha mkongwe wa muziki nchini CPWAA pamoja na RONEI ambaye ni upcoming hatari kutoka SGS SABUKA MUSIC, Record Label inayomilikiwa na IRENE SABUKA. Tutashukuru kwa support yako ya muziki mzuri. Wako Mtiifu, 
 Harmorapa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...