wimbo wa kwanza kutoka kwa Beka Flavor ambaye ni member wa Yamoto Band, ambaye amekuwa akisikika mara nyingi katika nyimbo za kundi lakini kwa sasa amefanya wimbo akiwa mwenyewe baada ya uongozi kuwaruhusu kufanya kazi za binafsi huku kundi likiendelea kama kawaida.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...