YaraLIVA NITRABOR ni mbolea maalumu yenye Calcium inayoyeyuka pamoja na boron kwa ajili ya uchevushaji wa maua, kurefusha muda wa mazao kutokuharibika  kwa haraka na huongeza ubora wa mazao ya mbogamboga na matunda.
Matumizi:
1.       Weka gramu 145 kwenye bomba la lita 15
Zingatia:
·         Pulizia kwenye majani na sio kwenye udongo
·         Tafadhali wasiliana na bwana shamba wa kampuni ya Yara kwa maelekezo na mahitaji maalumu
Wasiliana na wataalamu wa Yara Tanzania Ltd kwa kupiga *149*50*31# BURE au +255 22 2112965/6

 Bw. Bagalama, mkulima wa tikiti na karanga mkoani Tabora alienufaika na mbolea aina ya YaraLiva NITRABOR

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...