Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga(wa Pili kutoka kushoto) Mkurugenzi Maendeleo ya watoto Margaret Mussai(wa Pili kutoka kulia), Mkurugenzi wa Shirika linalohudumia watoto wenye uhitaji katika malezi na elimu-SOS Children Villages Tanzania Bw.Anatory Rugaimukamu (wa kwanza kulia) na Mkurugenzi wa Shirika SOS Children Villages Tanzania Mkoa wa Arusha Bw.Francis Msollo (kulia) wakienda kuangalia makazi katika kijiji cha watoto.
Katibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga akiteta jambo na watoto katika kijiji cha watoto kilicho chini ya Shirika la SOS Children Villages alipofanya ziara katika shirika hilo leo Ngaramtoni Mkoani Arusha
Mama Mlezi katika kijiji cha watoto kilicho chini ya Shirika la SOS Children Villages Bi. Cylichelia Byabato akimuonesha Katibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga sehemu ya malazi ya watoto katika Kijiji hicho leo Ngaramtoni Mkoani Arusha.
Katibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga akifurahia jambo na watoto katika kijiji cha watoto kilicho chini ya Shirika la SOS Children Villages alipofanya ziara katika shirika hilo leo Ngaramtoni Mkoani Arusha
Katibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya,Maendeleo ya Jamii,Jinsia,Wazee na Watoto (Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii)Bi. Sihaba Nkinga akila chakula cha mchana na watoto katika kijiji cha watoto kilicho chini ya Shirika la SOS Children Villages alipofanya ziara katika shirika hilo leo Ngaramtoni Mkoani Arusha.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...