Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza jambo na Katibu wa
Makamu wa Rais, Wazir Salum mapema leo jijini Arusha walipokuwa
wakielekea kwenye tukio la kuaga miili ya Wanafunzi 32,waalimu wawili na
dereva mmoja ndani ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini humo,ambapo
Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alishiriki kuongoza tukio
hilo,kushoto ni katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Pole Pole
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalamiana na Katibu wa Makamu
wa Rais, Wazir Salum mapema leo jijini Arusha walipokuwa wakielekea
kwenye tukio la kuaga miili ya Wanafunzi 32,waalimu wawili na dereva
mmoja ndani ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini humo,ambapo Makamu wa
Rais Samia Suluhu Hassan alishiriki kuongoza tukio hilo,kushoto ni
katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Pole Pole
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifurahia jambo na Katibu wa Makamu
wa Rais, Wazir Salum mapema leo jijini Arusha walipokuwa wakielekea
kwenye tukio la kuaga miili ya Wanafunzi 32,waalimu wawili na dereva
mmoja ndani ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini humo,ambapo Makamu wa
Rais Samia Suluhu Hassan alishiriki kuongoza tukio hilo,kushoto ni
katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu Pole Pole
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...