Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza jambo na Katibu wa Makamu wa Rais, Wazir Salum mapema leo jijini Arusha walipokuwa wakielekea kwenye tukio la kuaga miili ya Wanafunzi 32,waalimu wawili na dereva mmoja ndani ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini humo,ambapo Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alishiriki kuongoza tukio hilo,kushoto ni katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu  Pole Pole
 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akisalamiana na Katibu wa Makamu wa Rais, Wazir Salum mapema leo jijini Arusha walipokuwa wakielekea kwenye tukio la kuaga miili ya Wanafunzi 32,waalimu wawili na dereva mmoja ndani ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini humo,ambapo Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alishiriki kuongoza tukio hilo,kushoto ni katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu  Pole Pole
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akifurahia jambo na Katibu wa Makamu wa Rais, Wazir Salum mapema leo jijini Arusha walipokuwa wakielekea kwenye tukio la kuaga miili ya Wanafunzi 32,waalimu wawili na dereva mmoja ndani ya uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini humo,ambapo Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan alishiriki kuongoza tukio hilo,kushoto ni katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM Ndugu  Pole Pole

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...