Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Bwana Amour Hamad Amour aliyepiga magoti akiangalia Tanki la maji na uwepo wa maji katika Tanki hilo ambapo alilidhishwa na uwepo wa maji katika kijiji cha Njalamatata wilayani Namtumbo na kuridhishwa na mradi huo uliogharimu kiasi cha shilingi milioni 713.
Home
Unlabelled
Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Bwana Amour Hamad Amour akagua miradi ya maendeleo namtumbo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...