Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akimjulia hali Godfrey Tarimo mwenye umri wa miaka 11 ambaye ni
mmoja wa majeruhi waliolazwa kwenye hospitali mkoa wa wa
Arusha ya Mt. Meru, Godfrey ni mmoja ya waliojeruhiwa katika ajali
waliopata wanafunzi wa Lucky Vincent (Picha na Ofisi ya Maku wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akimjulia hali Doreen Mshana mwenye umri wa miaka 13ambaye ni mmoja wa majeruhi waliolazwa kwenye hospitali mkoa wa wa
Arusha ya Mt. Meru, Doreen ni mmoja ya waliojeruhiwa katika ajali
waliopata wanafunzi wa Lucky Vincent (Picha na Ofisi ya Maku wa Rais)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan akimjulia hali Sadia Isamel Awadhi mwenye umri wa miaka 11
ambaye ni mmoja wa majeruhi waliolazwa kwenye hospitali mkoa wa wa
Arusha ya Mt. Meru, Sadia ni mmoja ya waliojeruhiwa katika ajali
waliopata wanafunzi wa Lucky Vincent (Picha na Ofisi ya Maku wa Rais)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...