Rais wa Uchezaji wa Mpira wa Miguu Tanzania ‘Free Style Football’ , Morison Jumanne (wakwanza kulia) akizungumza na waandishi wa habari  (hawapo pichani) juu ya maonesho ya kimataifa ya uchezaji wa mpira wa miguu  unaonza leo  katika maeneo mbalimbali ya wazi na mitaa jijini Dar es Salaam, katikati ni Makamu wa Rais wa Uchezaji wa Mpira wa Miguu Tanzania, Pascal Changa na kushoto ni Bingwa wa Dunia  wa Uchezaji wa Mpira wa Miguu 2012 kutoka nchi ya Japan ,Kotaro Tokuda
 Bingwa wa Dunia  wa Uchezaji wa Mpira wa Miguu 2012 kutoka nchi ya Japan ,Kotaro Tokuda akizungumza na waandishi wa habari juu ya ziara yake nchini Tanzania  ni kwa ajili ya maonesho ya wazi ya mchezo huo  Mkoa wa Dar es Salaam.
Bingwa wa Dunia  wa Uchezaji wa Mpira wa Miguu 2012 kutoka nchi ya Japan, Kotaro Tokuda akionyesha umahiri wa mchezo kwa waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Picha na Emmanuel Massaka, Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...