Leo Prof. Mark Mwandosya, aliyekuwa Kamisha, Katibu Mkuu, Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, Waziri wa Nchi(Mazingira), Waziri wa Maji na Umwagiliaji na Waziri wa Nchi(Ofisi ya Rais-Kazi Maalum) amemtembelea Mhe. Stephen Masato Wasira nyumbani kwake Mbweni, Dar es Salaam kumjulia hali na kubadilishana uzoefu. Mheshimiwa Wasira ni mmoja ya wanasiasa wa siku nyingi nchini. Amewahi kuwa Mkuu wa Mkoa, Naibu Waziri, Waziri wa Wizara mbalimbali, akimalizia kama Waziri wa Nchi(Ofisi ya Rais) na hatimaye Waziri wa Kilimo.
Home
Unlabelled
Mawaziri Wastaafu Wakutana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...