Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Alhaj Mussa Mbaruku kulia akisisitiza jambo wakati alipotembelea eneo la
Neema kujionea athari za uharibifu wa barabara ya Tanga hadi Pangani
kutokana na mvua kubwa iliyonyesha juzi na kusababisha barabara hiyo
kutokupitika.
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku kushoto akiteta jambo na mmoja wa wakazi wa Jiji la Tanga eneo la Neema mara baada ya kukutana njiani wakati mbunge huyo alipokwenda kukagua kujionea athari zilizotokana na mvua kubwa iliyonyesha kulia ni Diwani wa Kata ya Mnyanjani (CUF) Thobias Haule
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Alhaj Mussa Mbaruku wa kwanza kulia akiangalia athari za miundombinu ya
barabara ya Tanga hadi Pangani katika eneo la Neema ambako alikwenda
kuangalia namna ilivyoharibika kutokana na mvua kubwa zinazoendelea
kunyesha.
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Alhaj Mussa Mbaruku kulia akipata maelekezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi
Bacc Technicla co.Ltd ya Mkoani Dodoma , Husein Bakeme kuhusu namna
wanayofanya kuondoa adha hiyo
Creda likiendelea kufanya kazi ya
kurekebisha barabara ya Tanga -Pangani eneo la Neema ambalo lilikuwa
halipitiki kutokana na kuharibika vibaya na kusababisha magari kushindwa
kupita.
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
KUSOMA ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...