Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akizindua hoteli ya Eserian ,kulia ni Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)mkoa wa Arusha,Michael Lekule Laizer.
Mmiliki wa hoteli ya Eserian,Issaya Yassi(kulia)akimweleza Mkuu wa mkoa,Mrisho Gamb(wa pili kushoto),Askofu Masangwa(kushoto) na Mwenyekiti CCM mkoa wa Arusha,Michael Lekule Laizer namna alivyotumia mifugo kuwekeza kwenye nyumba ya wageni.
Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo akiangalia mandhari ya hoteli ya Eserian akiwa na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM)mkoa wa Arusha,Michael Lekule Laizer.
Mfanyabiashara maarufu wa jijini Arusha,Philemon Mollel maarufu kwa jina la Monaban (kushoto) akikabidhiwa tuzo maalumu na Mkuu wa mkoa wa Arusha,Mrisho Gambo iliyotolewa na shirika la kidini World Mission International kwa kutambua mchango kwa jamii.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...