Mkuu wa mkoa wa Ruvuma dkt bilinithi mahenge ashangazwa na baadhi ya watu wachache ambao wanatabia ya kubeza maendeleo yanayofanywa na serikali kana kwamba kama hayana umuhimu katika jamii,kauli hii ameitoa mara baada ya uzinduzi wandege mkoa Ruvuma ambapo shirika la ndege Tanzania ATCL limeanza kutoa huduma zake toka SONGEA HADI DAR ES SALAAM

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...