Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rodrick Mpogolo, akiteta jambo na Mkuu wa
Wilaya ya Ubungo, Kisare Matiku Makori, katika Ukumbi wa CCM Manzese,
wakati wa ziara yake ya kuimarisha Chama kwa kuzungumza na Wenyeviti,
Makatibu na Wenezi wa Kata, Makatibu wa Jumuiya ya ngazi za Kata,
Wenyeviti wa Mitaa na Mabalozi wa Jimbo hilo la Ubungo jijini Dar
esSalaam , jana.
Mkuu
wa Wilaya ya Ubungo, Kisare Matiku Makori, akizungumza kutoa tathmini
ya usalama wa kisiasa katika Wilaya yake mbele ya mgeni Rasmi Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo, aliyekuwa katika ziara yake ya
kuimarisha Chama katika Jimbo la Ubungo, jijini Dar es Salaam, jana.
Naibu
Katibu Mkuu wa CCM Bara, Rodrick Mpogolo, akizungumza na Makatibu na
Wenezi wa Kata, Makatibu wa Jumuiya ya ngazi za Kata, Wenyeviti wa
Mitaa, Mabalozi na Wanachama wa CCM wa Jimbo la Ubungo, wakati akiwa
katika ziara yake ya kuimarisha Chama Mkoa wa Dar es Salaam, jana katika
Ukumbi wa CCM manzese jijini Dar Es Salaam.
Baadhi
ya Viongozi wa Kata ya Salanga Jimbo la Kibamba, wakiwa bize kutunza
kumbukumbu ya elimu iliyokuwa ikitolewa kwao na Naibu Katibu Mkuu jana.
KUSOM ZAIDI BOFYA HAPA
KUSOM ZAIDI BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...