Ofisa Matekelezo wa NSSF Mkoa wa Tanga, Athuman Rajabu (kushoto), akimwandikisha mwanachama mpya wa Hiari wa mfuko huo, Moses Francis, baada ya kupata elimu juu ya mafao yatolewayo na NSSF wakati wa Maonyesho ya Biashara ya Kimataifa (Tanga Trade Fair) yaliyofanyika katika viwanja vya Mwahako jijini Tanga, mwishoni mwa wiki.
Ofisa Matekelezo Mwandamizi wa NSSF Mkoa wa Tanga, Abuu Mshangama (kulia), akimkabidhi fulana ya NSSF, Hamis Chika, mmoja wa watu waliotembelea banda la NSSF kwenye Maonyesho ya Biashara-Tanga Trade Fair yaliyofanyika katika viwanja vya Mwahako jijini Tanga, mwishoni mwa wiki.
Ofisa Matekelezo Mwandamizi wa NSSF Mkoa wa Tanga, Abuu Mshangama (kulia), akimkabidhi fulana ya NSSF, Hamis Chika, mmoja wa watu waliotembelea banda la NSSF kwenye Maonyesho ya Biashara-Tanga Trade Fair yaliyofanyika katika viwanja vya Mwahako jijini Tanga.
Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage, akipata maelezo alipotembelea banda la NSSF.
Ofisa Masoko na Uhusiano wa NSSF, Anna Nguzo akitoa elimu juu ya mafao yanayotolewa na NSSF kwa wananchi waliofika katika maonyesho ya Biashara ya Tanga Trade Fair.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...