Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma pamoja na mwenyeji wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwapungia mkono baadhi ya wafanyakazi wa Ikulu na wananchi waliofika kumpokea mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es salaam mei 11,2017.
 Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma akimueleza jambo  mwenyeji wake Rais Dkt. John Pombe Magufuli mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es salaam mei 11,2017.
 Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa sambamba na mgeni wake  Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma mapema leomara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es salaam mei 11,2017.
 Rais Dkt Magufuli akimsikiliza Makamua wa Rais,Samia Suluhu Hassan wakati wa mapokezi ya Rais wa Afrika Kusini,Jacob Zuma mapema leo kwenye viwanja vya Ikulu jijini Dar
 Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini,Jacob Zuma akisalimiana na Makamu wa Rais,Samia Suluhu Hassani mapema leo kwenye viwanja vya Ikulu,jijini Dar,kushoto ni Rais Dkt John Pombe Magufuli akishuhudia tukio hilo mara baada ya kumpokea mgeni wake
 Rais Dkt John Pombe Magufuli akimpigia makofi mgeni wake  Rais wa Jamhuri ya Afrika Kusini Mhe. Jacob Zuma alipokuwa akipiga ngoma,mara baada ya kuwasili na kupokelewa mapema leo katika viwanja vya Ikulu,jijini Dar Es Salaam .
  Muonekano wa njia ya kuingilia Ikulu leo tayari kwa mapokezi ya Rais wa Afrika Kusini,Mhe.Jacob Zuma
 Moja ya kikundi cha ngoma za asili kilichoshiriki kusherehesha mapokezi wa Rais wa Afrika Kusini,Mhe.Jacob Zuma katika viwanja vya Ikulu mapema leo jijini Dar.Picha kwa hisani ya Ofisi ya Makamu wa Rais.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...