Wabunge
wa Nkasi, Tabora na Shinyanga wakiwasili tayari kukabidhiwa magari la
kubebea wagonjwa waliyopewa msaada na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9,
2017
Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akiwakaribisha Wabunge Mhe Ali
Mohamed Kessy (Nkasi Kaskazini) Mhe. Munde tambwe (viti maalumu - Mkoa
wa Tabora) na Mhe Lucy Mayenga (viti maalumu-mkoa wa Shinyanga) kupokea
magari ya kubebea wagonjwa waliyopewa saada na Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam
leo Mei 9, 2017
Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akimwangalia Mbunge wa Nkasi Mhe Ali
Mohamed Kessy baada ya kumkabidhi gari la kubebea wagonjwa alilopewa
msaada na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2017
Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akimwangalia Mbunge wa Viti Maalumu
Mhe Lucy Mayenga baada ya kumkabidhi gari la kubebea wagonjwa alilopewa
msaada na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Magufuli Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2017
Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi akimwangalia Mbunge wa Viti Maalumu
Mhe. Munde baada ya kumkabidhi gari la kubebea wagonjwa alilopewa msaada
na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
Ikulu jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2017
Katibu
Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi (kati) akiwa na Katibu Mkuu Ikulu Mhe.
Alphayo Kidata (Kushoto) na Mkurugenzi wa Huduma Ikulu Bw. Charles
Mwankupili (kulia) na Wabunge Mhe Ali Mohamed Kessy (mbunge wa Nkasi
Kaskazini) Mhe. Munde tambwe na Mhe Lucy Mayenga (wabunge viti maalumu)
baada ya kuwakabidhi magari la kubebea wagonjwa waliyopewa msaada na
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli Ikulu
jijini Dar es salaam leo Mei 9, 2017.
PICHA NA IKULU
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...