Msanii Dogo Mfaume amefariki dunia katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa anapata matibabu kwa kusumbuliwa na uvimbe kichwani. Kibao hiki cha "KAZI YANGU YA DUKANI" kilimpatia tuzo ya mwaka 2008. Globu ya Jamii inatoa rambirambi kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki kwa kumpoteza msanii huyo hodari. Mola aiweke roho yake mahali pema peponi - Amin

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...