Jana Jumapili Saigon social club ya jijini Dar es salaam imefanya khitma ya kurehemu wazee na ndugu  wa Kariakoo waliotangulia kwa Mwenyenzi Mungu. Mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Gharib Bilali. Kila mwaka klabu hii hufanya khitma ikiwa ni mojawapo ya shughuli katika kalenda yake
 Mgeni rasmi alikuwa Makamu wa Rais Mstaafu Dkt. Mohamed Gharib Bilali akikaribishwa makao makuu ya Saigon Social Club kuhudhuria khitma hiyo
 Sehemu ya wanachama wa Saigon Social club na wageni waalikwa
 Baadhi ya viongozi wa Saigon Social club
 Mashekhe wakiongoza khitma
Khitma inaendelea. Picha kwa hisani ya Mohamed Said.
Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...