Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto  Ummy Mwalimu akizungumza mbele ya wabunge na wadau mbalimbali wa afya na mazingira hwapo pichani wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ya utunzaji wa mazingira ijulikanayo kama “NIPO TAYARI” iliyofanyika leo mjini Dodoma.
 Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto  Ummy Mwalimu akifungua pazia kuashiria uzinduzi wa kampeni ya ya utunzaji wa mazingira ijulikanayo kama “NIPO TAYARI” uliofanyika mjini leo mjini Dodoma.
 Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto  Ummy Mwalimu katikati akiwa amebeba nembo inayoashiria uzinduzi wa kampeni ya kutunza mazingira ijulikanayo kama “NIPO TAYARI” uliofanyika mjini Dodoma , wengine ni wadau mbalimbali wa mazingira pamoja na baadhi ya wabunge.
Waziri wa Afya, maendeleo ya Jamii, jinsia, Wazee na Watoto  Ummy Mwalimu kushoto akiteta jambo na Naibu waziri Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Bw. Suleiman Jaffo wakati wa uzinduzi wa kampeni ya ya utunzaji wa mazingira ijulikanayo kama “NIPO TAYARI” uliofanyika mjini leo mjini Dodoma.
Picha na Ally Daud-WAMJW DODOMA. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...