Mashindano ya Miss Ustawi wa Jamii 2017 yanatarajia kufanyika siku ya
ijumaa, Mei 19 katika Ukumbi wa King Solomon jijini Dar es Salaam.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mwalimu wa Warembo hao, Clara Nyaki amesema maandalizi yafanyika kwa ustadi kutokana jinsi walivyowachuja. Amesema kuwa mshindi atakayepatikana atakuwa ameonyesha uwezo wake binafsi ikilinganishwa wengine wataofuata.
Clara amesema siku hiyo itakuwa ya kipekee kutokana na maandalizi watapopata mshindi wa kuwakilisha warembo wenzake. Pia, Clara amewakaribisha Watanzania wote kwa ujumla kuja kushuduhia tukio hilo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Mwalimu wa Warembo hao, Clara Nyaki amesema maandalizi yafanyika kwa ustadi kutokana jinsi walivyowachuja. Amesema kuwa mshindi atakayepatikana atakuwa ameonyesha uwezo wake binafsi ikilinganishwa wengine wataofuata.
Clara amesema siku hiyo itakuwa ya kipekee kutokana na maandalizi watapopata mshindi wa kuwakilisha warembo wenzake. Pia, Clara amewakaribisha Watanzania wote kwa ujumla kuja kushuduhia tukio hilo.
Kwa
upande wao hao Walimbwende hao wamesema wamejinada kila mmoja kuondoka
na ushindi kulingana na maandalizi waliyoyafanya katika kipindi chote
walichokuwa na mwalimu wao. Warembo watakaojimwaga siku hiyo ni Ruth
Deouratius ,Melody Thomas, Elizabeth Julius, Careen Kileo, Loyce Jeck
,Diana Wambura , Angela Milanzi pamoja na Elice Mwakajila .
Warembo
wakiwa katika picha ya pamoja kwa pozi mbalimbali watavyokwenda katika
kinyanganyilo hicho kitachofanyika Mei 19 katika ukumbi wa King Solomon
jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...