TANZIA.
Familia ya Marehemu Mh. Samuel Sitta,inawatangazia Ndugu,jamaa,na Marafiki imepata Pigo la kuondokewa na Mdogo wa Marehemu Mh.Samuel Sitta, ambaye alikuwa Meya wa mji mdogo wa Urambo Ndg.Peter Sitta ambaye amefariki Usiku wa Leo jumamos trh 27/5 katika hospital ya Hindu Mandal..Msiba upo Masaki Nyumbani kwa Hayati Samuel Sitta Mtaa wa Twiga , Karibu na Makao makuu ya UNHCR .
Bwana ametoa, Bwana ametwaa Jina lake lihidiwe.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...