Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo,akisisitiza jambo wakati akiongea katika hafla ya kuwaaga wasanii maarufu wa filamu kutoka China waliokuja nchini kwa shughuli za kisanii na kuangalia vivutio vya utalii kuwa Tanzania ni tajiri kwa vivutio vyingi vya utalii. Hafla hiyo ilifanyika kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam.
Wasanii wa kikundi cha Sanaa cha Wanne Star wakitumbuiza katika hafla ya kuwaaga wasanii maarufu wa filamu kutoka China waliokuja nchini kwa shughuli za kisanii na kuangalia vivutio vya utalii kuwa Tanzania ni tajiri kwa vivutio vyingi vya utalii. Hafla hiyo ilifanyika kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam.juzi usiku.
Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo (kushoto)akiteta jambo na Mwambata wa Ubalozi wa China nchini, Bw. Gou Haodong katika hafla ya kuwaaga wasanii maarufu wa filamu kutoka China waliokuja nchini kwa shughuli za kisanii na kuangalia vivutio vya utalii kuwa Tanzania ni tajiri kwa vivutio vyingi vya utalii. Hafla hiyo ilifanyika kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam.
Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Utalii Tanzania(TTB), Bi. Devota Mdachi akiandaa zawadi ya shuka ya kimasai kabla ya kumkabidhi Mwenyekiti wa Bodi hiyo Jaji Mstaafu Thomas Mihayo (katikati)iliamkabidhi mmoja wa wasanii maarufu wa filamu katika hafla ya kuwaaga wasanii maarufu wa filamu kutoka China waliokuja nchini kwa shughuli za kisanii na kuangalia vivutio vya utalii kuwa Tanzania ni tajiri kwa vivutio vyingi vya utalii. Hafla hiyo ilifanyika kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa Jijini Dar es salaam.
Mwenyekiti wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) Jaji Mstaafu Thomas Mihayo akimfunika shuka mmoja wa wasanii kutoka China katika hafla ya kuwaaga wasanii maarufu wa filamu kutoka China waliokuja nchini kwa shughuli za kisanii na kuangalia vivutio vya utalii kuwa Tanzania ni tajiri kwa vivutio vyingi vya utalii. Hafla hiyo ilifanyika kwenye Ukumbi wa Makumbusho ya Taifa jijini Dar es salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...