Mkuu
wa Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, Dk Leonard Masale akikagua timu ya
ya mpira wa miguu ya Nyamagana baada ya kuzindua michuano ya Copa
Cocacola kwenye uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.
Mkuu
wa Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, Dk Leonard Masale akikabidhi vifaa
vya michezo kwa baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bugogwa
baada ya kuzindua michuano ya Copa Cocacola kwenye uwanja wa CCM
Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.Kushoto ni Mkurugenzi wa Nyanza
Bottling, Christopher Gachuma na wa pili kushoto ni Afisa Msaidizi wa
Masoko wa kampuni hiyo nchini, Pamela Lugenge.
Mkuu
wa Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza, Dk Leonard Masale akikabidhi vifaa
vya michezo kwa baadhi ya wanafunzi wa Shule ya Sekondari Bugogwa
baada ya kuzindua michuano ya Copa Cocacola kwenye uwanja wa CCM
Kirumba jijini Mwanza mwishoni mwa wiki.Kushoto ni Mkurugenzi wa Nyanza
Bottling, Christopher Gachuma na wa pili kushoto ni Afisa Msaidizi wa
Masoko wa kampuni hiyo nchini, Pamela Lugenge.
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...