Wadau Godwin D. Msigwa na Dkt. Faraja H. Mpangike wakitangazwa kama mume na mke katika kanisa la Dar es salaam Pentecostal Church (DPC) jijini Dar es salaam jioni hii |
Wadau Godwin D. Msigwa na Dkt. Faraja H. Mpangike wakionesha pete zao baada ya kutangazwa kuwa mume na mke katika kanisa la Dar es salaam Pentecostal Church (DPC) jijini Dar es salaam jioni hii
Wadau Godwin D. Msigwa na Dkt. Faraja H. Mpangike wakifurahia baada ya kutangazwa kuwa mume na mke katika kanisa la Dar es salaam Pentecostal Church (DPC) jijini Dar es salaam jioni hii
Wadau Godwin D. Msigwa na Dkt. Faraja H. Mpangike wakeielekea kwenye ukumbi wa Impala Mbezi Beach jijini Dar es salaam walikoandaa bonge la mnuso. Globu ya Jamii imawapa hongera na kuwatakia maisha mema ya ndoa.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...