Vijana wa shule za sekondari wanaoshiriki UMISETA mkoa wa ruvuma wametakiwa kudumisha nidhamu wawapo uwanjani ili waweze kufikia malengo yao. Wito huo umetolewa na afisa elimu mkoa wa ruvuma GHARAMA KINDERU wakati wa kufungua michezo hiyo ili kuweza kupata timu itakayo wakilisha mkoa wa ruvuma katika michuano ya UMISETA inayotarajia kufanyika jijini mwanza mwezi juni mwaka huu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...