Waziri
wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, akizungumza na wajumbe wa
Baraza la Wafanyakazi la Wizara yake kabla ya kufungua Kikao Baraza hilo kilichojadili
Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka 2016/2017 na malengo ya mwaka 2017/2018,
kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Magereza Ukonga, jijini Dar es
Salaam leo. Katika hotuba yake, Mwigulu aliwataka Wafanyakazi wa Wizara yake
kuwa wavumilivu wakati mahitaji yao yanapofanyiwa kazi na viongozi wao, pia
aliwataka watendaji wa wizara hiyo kusimamia haki za wafanyakazi pamoja na
kuondoa urasimu wa aina yoyote ili kuwaletea morali ya kufanya kazi.
Mkurugenzi
wa Utawala na Rasilimali Watu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Lilian Mapfa
akizungumza katika Kikao kilichojadili Utekelezaji wa Bajeti ya Mwaka 2016/2017
na malengo ya mwaka 2017/2018 cha Baraza la Wafanyakazi la Wizara hiyo
kilichofanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Magereza Ukonga, jijini Dar es
Salaam leo. Kushoto ni Naibu Inspekta Jenerali
wa Polisi, Abdulrahman Kaniki na kulia ni Kamishna wa Utawala na Fedha
wa Jeshi la Magereza, Gaston Sanga
Waziri
wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (katikati waliokaa), Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Simba Yahya (wa pili kushoto), Kamishna
Jenerali wa Jeshi la Magereza (CGP), Dk. Juma Malewa (kulia), Mwenyekiti
wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu
na Afya (TUGHE) tawi la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, William Mkombozi
(kushoto), Katibu wa Baraza hilo, Amani Mashaka
wakiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Baraza hilo, mara baada ya
Waziri Mwigulu kufungua Kikao cha Baraza hilo, kilichofanyika katika Ukumbi wa
Mikutano wa Magereza Ukonga, jijini Dar es Salaam leo. Katika hotuba yake,
Mwigulu aliwataka wafanyakazi wa Wizara yake kuwa wavumilivu wakati mahaitaji
yao yanapofanyiwa kazi na viongozi wao, pia aliwataka watendaji wa wizara hiyo
kusimamia haki za wafanyakazi pamoja na kuondoa urasimu wa aina yoyote ili
kuwaletea morali ya kufanya kazi.
Waziri
wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (katikati waliokaa), Naibu
Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Balozi Simba Yahya (wapili kushoto), Kamishna
Jenerali wa Jeshi la Magereza (CGP), Dk. Juma Malewa (kulia), Mwenyekiti wa Chama cha Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya
(TUGHE) tawi la Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, William Mkombozi (kushoto), Katibu
wa Baraza hilo, Amani Mashaka wakiwa
katika picha ya pamoja na Watendaji Wakuu wa Wizara hiyo, mara baada ya Waziri
Mwigulu kufungua Kikao cha Baraza hilo, kilichofanyika katika Ukumbi wa
Mikutano wa Magereza Ukonga, jijini Dar es Salaam leo. Katika hotuba yake,
Mwigulu aliwataka wafanyakazi wa Wizara yake kuwa wavumilivu wakati mahitaji
yao yanapofanyiwa kazi na viongozi wao, pia aliwataka Watendaji wa Wizara hiyo
kusimamia haki za wafanyakazi pamoja na kuondoa urasimu wa aina yoyote ili
kuwaletea morali ya kufanya kazi.
Picha zote na Wizara ya Mambo ya Ndani ya
Nchi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...