Naibu Waziri wa Viwanda, Biashara na uwekezaji Charles Mwijage(katikati) akiongoza jopo la Viongozi kuzindua duka kubwa la kisasa litakalokuwa linauza vifaa vyote vya vya ujenzi kwa bei nafuu lililopo eneo la Mikocheni jijini Dar es Salaam
aibu Waziri wa Viwanda, Biashara na uwekezaji Charles Mwijage akikagua sehemu ya bidhaa zilizopo ndani ya duka hilo ambazo zinazalishwa hapa nchini.
Rais wa umoja wa wafanyabiashara wa china wanaotengeza vifaa vya ujenzi,Thomas Cao akitoa maelezo kutoka kwa Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam jinsi duka hilo lilivyosheheni bidhaa kutoka makampuni mbalimbali hapa nchini
Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mstahiki Ben Sitta akiwa na viongozi wa duka hilo katika picha ya pamoja. Picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...