Mkaazi wa jiji la Dar es Salaam akiwa  juu ya mzigo uliobebwa na Baiskeli ya magurudumu matatu (Guta) akitokea katika soko la Mabibo  kuelekea mtaani kama alivyokutwa katika barabara ya Mandela jijini Dar es Salaam leo hasubuhi,  jambo ambalo ni hatari kwa usalama wake 
Picha na Humphrey Shao wa Globu ya Jamii

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...