Mkaazi wa jiji la Dar es Salaam akiwa juu ya mzigo uliobebwa na Baiskeli ya magurudumu matatu (Guta) akitokea katika soko la Mabibo kuelekea mtaani kama alivyokutwa katika barabara ya Mandela jijini Dar es Salaam leo hasubuhi, jambo ambalo ni hatari kwa usalama wake
Picha na Humphrey Shao wa Globu ya Jamii
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...