Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai akiongoza kikao cha kumi na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 2, 2017.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Mhe. Hamadi Masauni akijibu maswali mbalimbali ya wabunge katika katika kikao cha kumi na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 2, 2017.
Mbunge wa Viti Maalum(CHADEMA) Mhe.Upendo Peneza akiuliza swali katika kikao cha kumi na tano cha Mkutano wa saba wa Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 2, 2017.
Makamu Mwenyekiti wa kamati ya Haki,Maadili
na madaraka ya Bunge Mhe.Almas Maige
akisoma hoja za kamati hiyo kuhusu Shauri la kudharau Mamlaka ya Spika
linalowahusu Mhe.Freeman Mbowe,Mhe Halima Mdee na Mhe.Ester Bulaya na Shauri la kuingilia
Uhuru na Haki za Bunge linalowahusu Bw.Paul
Makonda na Pastory Mnyeti katika kikao cha kumi na tano cha Mkutano wa saba wa
Bunge la 11 leo Mjini Dodoma Mei 2, 2017.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...