Mkurugenzi wa kampuni ya Yara Mr. Alexandre Macedo (kati) akikata utepe kuashiria  uzinduzi wa ghala la kuhifadhi mbolea nchini Rwanda. Mr. Macedo ni msimamizi pia wa Yara Rwanda na Burundi ambapo hupata huduma zake za mbolea kupitia Tanzania
 Afisa kilimo mwandamizi  wa kampuni ya kuzalisha na kusambaza mbolea Yara Tanzania Ltd, Bw.Maulidi  Mkima (katikati) akiwa shambani kwa mkulima wa viazi katika kijiji cha Simambwe Wilaya ya Mbeya Furaha Ngala (kushoto) kwa ajili kukagua maendeleo ya zao hilo baada ya kutumia mbolea ya YaraMila WINNER, YaraLiva NITRABOR na YaraVita TRACEL BZ mpangilio wa lisha linganifu kwenye viazi. Kulia ni bwana shamba msaidizi wa kampuni hiyo kutoka Mbeya Medson Joseph
 Afisa kilimo wa kampuni ya uzalishai na usambazaji wa pembejeo za kilimo Yara Tanzania Ltd, Bw. Maulid Mkina kushoto akitoa elimu juu ya matumizi bora ya mbolea ya YaraMila WINNER, YaraLiva NITRABOR na YaraVita TRACEL BZ kwa ajili ya viazi kwa wakulima wa viazi katika kijiji cha Simambwe Wilaya ya Mbeya wa tatu ni mmiliki wa shamba hilo Bw.Furaha Ngala
Afisa kilimo kutoka kampuni ya Yara Tanzania Ltd wazalishaji na wasambazaji wa mbolea mbalimbali  Bw. Maulid Mkima akiwa na mkulima wa viazi katika kijiji cha Simambwe Wilaya ya Mbeya Bw. Furaha alipotembelea shambani kwake na kuona matokea ya zao hilo baada ya kutumia mbolea aina ya YaraMila WINNER, YaraLiva NITRABOR na YaraVita TRACEL BZ.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...