Gari aina ya Toyota DYNA lenye namba za usajili 2330GX limepata ajali leo eneo la Kiuvyu katika barabara iendayo Chake Chake, Pemba, na kwa mujibu wa shuhuda wa ajali hiyo watu watatu wamejeruhiwa  vibaya na kukimbizwa hospitali ya Mkoani kwa matibabu. Chanzo cha ajali na majina ya majeruhi havikuweza kupatikana mara moja.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...