--
Rebeca Gumi kutoka tasisi ya Msichana Initiative akizungumza juu ya adha wanazopitia watoto wa kike pindi wanapokuwa katika masomo yao mara tu wanapovunja ungo mpaka kuhitimu mafunzo ya elimu ya juu na kuomba wapewe nafasi ya pekee katika jamii hili waweze kuzifikia ndoto zao.
Mtafiti kutoka Tasisi isiyo ya Kiserikali ya TWAWEZA ,Richard Temu akizungumzia juu ya matokeo ya tafiti iliyofanyw ana asasi za kiraia kwa kushirikiana na Serikali katika kubaini Changamoto za mtoto wa kike .
Mkurugenzi wa chama cha Wanasheria Wanawake nchini (Tawla) Bi.Tike Mwambipile akizungumza masuala ya kisheria yatakayo msaidia mtoto wa kike hili aweze kufanikiw akatika masomo yake.
Meneja utetezi wa Twaweza ,Annastazia Rugaba akiwasilisha mada juu masuala yanayo mkabili msichana pindi anapokuwa shuleni
Kaimu Mkurugenzi wa kituo cha Sheria na Haki za Binadamu , Anna Henga akiwasilisha mada juu ya umuhimu wa msichana kupata elimu nchini
Mhariri mwandamizi wa mtandao wa Jamii Forums Bi. Asha Abinallah akiuliza swali kwa viongozi wa asasi za kiraia
Sehemu ya washiriki wakiwa katika mkutano huo
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...