Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Azania ,Charles Itembe akizungumza na wateja na wafanyakazi wa benki hiyo wakati wa futari iliyoandaliwa na benki yake katika ofisi za Aznia Benki Mawasiliano Tower.
Mkurugenzi mkuu wa Benki ya Azania ,Charles Itembe, akisalimiana na watoto wa kituo cha Yatima cha Vingunguti wakati wa wakati wa futari iliyoandaliwa na benki yake katika ofisi za Azania Benki Mawasiliano Tower.
Mkuu wa kitengo cha Maendeleo ya Biashara Benki ya Azania , Othman Jibrea akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Watoto wa Kituo cha watoto yatima kutoka Vingunguti
Watoto wa kituo cha Watoto Yatima Vingunguti wakipata futari wakati wa futari iliyoandaliwa na benki yake katika ofisi za Azania Benki Mawasiliano Tower,jijini Dar.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...