Sheikh Shariff  Majini baada ya kumaliza ziara ya mkoa wa Arusha wikiendi hii.  Tarehe 10 na 11 Juni anataraji kufanya mikutano kwa siku hizo mbili Mkoani Tanga. Maandalizi yote yamekwisha kukamilika na mikutano itafanyikia katika ukumbi wa Makorora Community Centre.
Baada ya kumaliza mkutano Sheikh Shariff Majini atakuwa Tanga kwa siku mbili zaidi ili kusikiliza shida za watu mbalimbali ambao watakaokosa kuhudhuria mkutano. Baada ya Tanga Sheikh Shariff anataraji kwenda Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...