Mh. Balozi George Kahema Madafa katika tukio la kukabidhi hati za utambulisho kwa Rais Wa Jamhuri ya Italia Mh. Sergio Mattarella kwenye Ikulu ya Rais jijini Roma hapo tarehe 18.05.2017. Mh. Balozi Madafa aliambatana na maafisa wawili wa Ubalozi wa Tanzania nchini Italia pamoja na mkewe Bi. Esther Bhoke Madafa.
Balozi wa Tanzania nchini Italia Mh. George Kahema Madafa akabidhi hati za utambulisho kwa Rais wa Italia Mh. Sergio Mattarella katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Roma
Balozi wa Tanzania nchini Italia Mh. George Kahema Madafa akapeana mikono na Rais wa Italia Mh. Sergio Mattarella baada ya kukabidhi hati zake za utambulisho katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Roma
Balozi wa Tanzania nchini Italia Mh. George Kahema Madafa katika mazungumzo na Rais wa Italia Mh. Sergio Mattarella na maofisa wake baada ya kukabidhi hati zake za utambulisho katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Roma
Balozi wa Tanzania nchini Italia Mh. George Kahema Madafa akiagana na Rais wa Italia Mh. Sergio Mattarella baada ya kukabidhi hati zake za utambulisho katika Ikulu ya nchi hiyo jijini Roma. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA |
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...