Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza na Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka wilaya za Uvinza, Kigoma Vijijini na Kigoma Mjini, Mabalozi, Watendaji wa Chama na wa Serkali, mjini Kigoma, leo
 Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM kutoka wilaya za Uvinza, Kigoma Vijijini na Kigoma Mjini, Mabalozi, Watendaji wa Chama na wa Serkali, mjini Kigoma, wakishangilia Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo alipokuwaakizungmza nao katika kikao kilichofanyika Kigoma mjini, leo.
 Wajumbe wakiwa kwenye kikao hicho.
 Wajumbe kutoka Uvinza wakishangilia walipotambulishwa
 Afisa Afya wa mkoa wa Kigoma, Ambakisye Mhune akitoa darasa kwa wajumbe wa kikao hicho namna ya kujihami na ugonjwa wa Ebola, ambao alisema, hivi sasa umelipika ena katika nchi jirani ya Congo DRC.
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo, akizungumza na wajumbe kutoka ufafanuzi wa maswala mbalimbali ikiwemo uhaguzi ndani ya Chama, Ndugu Bulembo kabla ya kuzungumza na wajube hao alitawazwa kufalishwavazi la heshima la Waha laaina ya Mpuzu, ambalo ni ishara ya kiongozi makini na mwenye kuheshimika
 Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Mwenyekiti wa Jumuia ya WazaziTanzania, Alhaj Abdallah Bulembo, akikabidhi fedha kwa uongozi wa shina hilo, fedha hizo alichangisha kwa wadau waliokuwemo kisha akajazia mwenyewe. PICHA: BASHIR NKOROMO

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...